Mechi za Ligi kuu ya NBC

Panga Kwa
Wakati
Ligi
Wakati:
1H
3H
Leo
siku 3
Wote
Matukio Bet boost Moja kwa moja
Mpira wa Miguu
Matokeo ya Mwisho
1
X
2
Matokeo ya Mwisho
1
X
2
Nafasi Mbili
1X
12
X2
Matokeo ya Mwisho & Jumla ya Magoli
1&2+
2&2+
1&3+
2&3+
Nafasi mbili za Ubashiri &Jumla
1X & 2+
12 & 2+
X2 & 2+
Nafasi mbili za Ubashiri &Jumla
1X na 3+
12 & 3+
X2 na 3+
Kipindi cha 1 1-1x2
1
X
2
Bashiri mbili
1&2-4
1&2-5
2&2-4
2&2-5
Kipindi cha 1- Mwisho wa mchezo
1-1
X-1
X-2
2-2
Jumla ya Magoli 2.5
Chini ya
O/U
Zaidi
Jumla ya Magoli 2.5
Chini ya
O/U
Zaidi
Magoli Kipindi cha Kwanza 0.5
Chini ya
O/U
Zaidi
Jumla ya Magoli 3.5
Chini ya
O/U
Zaidi
Jumla ya Magoli 1.5
Chini ya
O/U
Zaidi
Jumla ya Magoli Kipindi cha Kwanza 1.5
Chini ya
O/U
Zaidi
Magoli mengi
1-3
2-3
2-4
3-4
Mchanganyiko wa Magoli
I1+&II1+
I2+&II1+
I1+&II2+
I 1-3&II 1-3
Highest scoring half
1>
2>
1=2
Timu Zote Kufunga
GG
GG&3+
GG&4+
Timu Zote Kufunga
GG
GG&3+
GG&4+
Mchanganyiko wa Timu Zote Kufunga Magoli
Mimi GG
II GG
IGG & IIGG
GG&I2+
1x2- kila timu ipate goli
1 & GG
X & GG
2 & GG
Jumla ya Magoli ya Nyumbani 1.5
Chini ya
O/U
Zaidi
Jumla ya Magoli ya Ugenini 1.5
Chini ya
O/U
Zaidi
Tanzania - Ligi Kuu
13:00
Leo
Stand United FC
Fountain Gate FC
+35
1.58
3.95
4.40
1.63
2.5
2.10
+35

Ligi Kuu NBC 2024/2025 | Msimu Wa Mabingwa

Ligi Kuu ya NBC ni ligi ya mpira wa miguu yenye ushindani wa juu kabisa nchini Tanzania, inasimamiwa na shirikisho la soka nchini Tanzania-TFF. Ilianzishwa mwaka 1965, kipindi hicho ikijulikana kama "Ligi ya Taifa". Jina hilo lilibadilishwa kuwa "Ligi Daraja la kwanza" na tena ikabadilishwa kuwa ‘’Ligi Kuu’’ mnamo mwaka 1997 na hatimaye kuwa Ligi Kuu Bara.

Ligi kuu ya NBC 2024-2025 imeanza kwa kishindo huku timu za mpira zinazoshiriki kugombania kinyanganyiro hicho zimejiimarisha kwa kufanya usajili wa wachezaji nguli kutoka sehemu mbali mbali. Meridianbet ikiwa kama chimbo bora la kubeti linakuletea odds kubwa zenye uhakika kwenye mechi za ligi kuu NBC, ni rahisi tembelea ukurasa wetu wa kubeti au pakua application ya kubeti uanze kubashiri kwenye mechi za Ligi kuu ya NBC.

Historia Ya Ligi Kuu Tanzania Bara

Historia ya Ligi Kuu Tanzania bara inaanzia mwaka 1929 ilipoanzishwa kifukara tu, kwa sababu ya mapenzi ya watu na soka, wakaamua kuungana na kuanzisha michuano ya soka kutafuta bingwa, ingawa ni timu za Dar es Salaam pekee zilizokuwa zikishiriki wakati huo.


Kufika mwaka 1965, ilianzishwa michuano ya Klabu Bingwa Tanzania, ambayo ilikuwa inaanzia ngazi ya Wilaya, ikichezwa kwa mtindo wa mtoano, ingawa pia katika miaka miwili ya mwanzoni, timu za Dar es Salaama pekee ndizo zilizoshiriki.


Katika mfumo huu wa soka, bingwa wa kwanza ilikuwa ni klabu ya Sunderland ambayo hivi sasa inajulikana kama Simba SC ya Dar es Salaam, ambayo ilifanikiwa kutetea ubingwa wake msimu uliofuata, kabla ya kuutema kwa Cosmopolitan ya Dar es Salaam mwaka 1967.


Lakini wakati wote huo, bado Tanzania ilikuwa haijawa mwanachama wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), hivyo Sunderland hawakuwahi kucheza michuano ya Afrika. Cosmo ingekuwa ya kwanza kucheza Klabu Bingwa Afrika mwaka 1968 kama isingejitoa, lakini kwa kujitoa kwao, Yanga ilifungua historia ya ushiriki wa klabu za Tanzania kwenye michuano ya Afrika mwaka 1969, baada ya kutwaa ubingwa wa nchi kwa mara ya kwanza mwaka 1968, kabla ya kuutetea mara nne mfululizo, katika miaka ya 1969, 1970, 1971 na 1972. Baada ya hapo, Sunderland ikiwa tayari imebadili jina na kuitwa Simba kurejesha taji lake mwaka 1973.

Simba ilishindwa kuutetea ubingwa wake msimu uliofuata mwaka 1974 baada ya kupokonywa na Yanga katika fainali ya kihistoria iliyofanyika Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza kwa kuchapwa mabao 2-1. Mwaka 1975 Yanga iliutema ubingwa huo kwa Mseto SC ya Morogoro, iliyoweka historia ya kuwa klabu ya kwanza kutoka nje ya Dar es Salaam kutwaa ubingwa wa ligi kuu bara.

Lakini Mseto ilishindwa kutetea taji hilo, ikapokonywa na Simba msimu uliofuata- na Wekundu wa Msimbazi walifanikiwa kutetea ubingwa huo kwa miaka mitano mfululizo, kuanzia mwaka 1976 hadi 1980.


Siri ya kutawala kwa Simba kwenye ligi kuu bara kwa miaka yote hiyo ni kuyumba kwa Yanga baada ya kukumbwa na mgogoro mkubwa 1976, uliosababisha kukimbiwa na wachezaji wote nyota, hivyo kuanza upya kabisa kuunda timu.


Ni ndani ya kipindi hicho Simba iliweza kulipa kisasi cha kuchapwa mabao 5-0 na Yanga mwaka 1968, wakati nayo ilipowatandika watani wao hao wa jadi 6-0 mwaka 1977. Juni 1, mwaka 1968 Yanga iliigaragaza Simba 5-0, mabao yake yakitiwa Kimiani na Maulid.


Julai 19, mwaka 1977 Simba nayo ililipa kisasi kwa kuibugiza Yanga mabao 6-0, wafungaji wakiwa ni Abdallah 'King' Kibadeni aliyetikisa nyavu mara tatu katika dakika za 10, 42 na 89, wakati mengine yalifungwa na Jumanne Hassan 'Masimenti' dakika za 60 na 73 na Selemani Sanga wa Yanga alijifunga dakika ya 20.

Kufika mwaka 1981, tayari Yanga SC ilikuwa imara tena na kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara ingawa msimu uliofuata iliutema kwa Pan African.
Kuanzia mwaka 1982, mfumo wa Ligi ya Tanzania ulibadilishwa na kukawa na ligi tatu, kwanza ni Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza visiwani Zanzibar na Ligi Kuu ya Muungano.

Kwa ujumla muongo mzima wa 1980, taji la ubingwa wa Ligi Kuu Bara lilikuwa la kukoponyana, kwani Simba nayo mwaka 1985 ilipokonywa taji hilo na Yanga, ambayo nayo ililitema kwa timu mpya katika Ligi Kuu bara msimu wa 1986, Tukuyu Stars ya Mbeya. Tukuyu nayo iliwarejeshea Yanga taji lao mwaka 1987, wakati mwaka 1988 Wagosi wa Kaya, Coastal Union ya Tanga ilijiingiza katika orodha ya timu zilizowahi kutwaa taji hilo. Mwaka 1989, Yanga ilifunga orodha ya mabingwa ya mabingwa wa muongo huo kwa kutwaa tena ubingwa wa Ligi kuu Bara.

Simba iliibuka mwaka 1990 na kutwaa ubingwa huo, ikitoka kuponea chupuchupu kushuka daraja msimu uliopita. Kupokonyana taji kuliendelea hata kwenye muongo wa 1990.

Timu (7) saba zilizochukua ubingwa Ligi Kuu Tanzania.

  1. Simba SC imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara mara 21
  2. Yanga SC imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara mara 29
  3. Mtibwa Sugar imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara mara 2
  4. Mseto SC (Morogoro) imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara mara 1
  5. Coastal Union imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara mara 1
  6. Tukuyu Stars (Mbeya) imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara mara 1
  7. Azam FC imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara mara 1

Hili ni chaguo namba moja la kubeti Tanzania, ambapo utakua na uwezo wa kubashiri ni klabu(timu) gani kutoka Tanzania itafanikiwa kushinda taji la ligi kuu NBC msimu wa 2024/25.

Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/25

Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/25 imepamba moto, huku timu zikichuana kuwania nafasi ya kwanza. Kiwango cha uchezaji kikiwa kimeongezeka, kukiwa na mechi nyingi zenye burudani ya kutosha. Mashabiki wanajitokeza kwa wingi kushabikia timu zao kwa kubeti mtandaoni wakijiongezea burudani ya ushabiki.

Ushindani ni mkali, huku timu zikijitahidi kupata ushindi na kupanda kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC. Msimu unapoendelea, pambano la kuwania nafasi ya kwanza linatarajiwa kupamba moto, weka mkeka wako kiurahisi, beti kwenye mechi za Ligi Kuu NBC Tanzania na ufurahie ushindi mkubwa msimu huu wa 2024/25.

Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania

Msimamo wa ligi kuu NBC Tanzania umetaradadi huku msimu ukiwa umenoga, Yanga SC ndio timu ya mpira wa miguu iliyoongoza msimamo wa Ligi Kuu nbc msimu uliopita. Je ni timu gani itakua mshindi wa ligi kuu ya Tanzania.

Mashabiki na wapenzi wa soka la bongo wanaweza kufuatilia msimamo wa Ligi Kuu ya NBC kwa kupitia Meridianbet, vile vile wanaweza kubashiri mubashara (kubeti live) kwenye mechi za ligi Kuu NBC.

Msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania 2024-2025

Msimamo wa ligi kuu NBC 2024-2025 unatarajia kuonyesha vipaji vya wachezaji kutokea timu tofauti wakionyesha uwezo wao wa kupambania na kupigania timu zao ziweze kunyakua ubingwa wa ligi kuu Tanzania.

Kama mshabiki wa soka la bongo, Meridianbet inakupatia uhakika wa odds kubwa kila unapo beti mechi za ligi kuu NBC 2024-2025.

Ratiba ya Ligi kuu NBC 24/25

Ligi kuu ya NBC 24-25 sio ya kukosa hata mara moja, ili kufuatilia mechi za Ligi kuu ya NBC mashabiki na wa soka la bongo wanafuatilia na kupata taarifa za ratiba ya ligi kuu ya nbc 24/25 kupitia ukurasa wa takwimu Meridianbet.

Ili kupata ushindi kwa kubashiri mtandaoni itakupasa kuangalia ratiba ya Ligi Kuu NBC 24/25 ili usipitwe na odds za soka baab'kubwa.

Matokeo ya Mechi za Ligi kuu NBC leo

Pata matokeo ya mechi za ligi kuu NBC moja kwa moja (live) huku yakitokea mubashara uwanjani kwa kupitia tovuti ya Meridianbet, huku ukijongezea nafasi ya ushindi kwa ku-cash out au kuweka mkeka mwingine kwa kubeti mubashara.

Kuwa wakwanza kujipatia ushinidi mnono kutokana na odds kubwa kwenye mechi za Ligi Kuu NBC leo.

Pakua app bora ya kubeti, usipitwe na nafasi ya kubeti kwenye NBC Ligi Kuu 2024/25.

Wafungaji bora ligi kuu ya NBC 2024/2025

Wafahamu wafungaji bora wa ligi Kuu ya NBC msimu huu wa 2024/2025 kwa kupitia kurasa za takwimu kuhusu soka la bongo. Aidha Meridianbet inakuruhusu kubashiri ni mchezaji gani atachukua tuzo ya mfungaji NBC 2024/2025. Beti mtandaoni, odds za uhakika kwenye machaguo yote.

Meridianbet inakupa uwezo wa kubashiri kwenye machaguo mbalimbali ikiwemo kubetia mfungaji bora kwa msimu, matokeo ya mechi, magoli sahihi na mtoa assists nyingi zaidi kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania. Fuatilia msimu mzima wa Ligi Kuu ya Tanzania na tovuti bora ya kubeti.

Aidha Meridianbet inaoongoza kwa michezo mingi ya kasino, kama vile michezo ya sloti inayotoa ushindi mnono, jiunge kwenye ufalme wa mabingwa.

uu ya Ukurasa
Tiketi
Hali ya Tiketi
Ukaguzi wa Tiketi
Tiketi wazi
Tiketi zilizolipwa

Ingia ili kuona tiketi za karibuni