Msimamo Wa Ligi, Ratiba Za Mechi Na Matokeo Ya Michezo Mtandaoni

Msimamo Wa Ligi, Ratiba Za Mechi Na Matokeo Ya Michezo Mtandaoni

Pata habari zote muhimu za michezo inayoendelea live,michezo iliyopita, habari kuhusu wachezaji bora, habari kuhusu timu na habari nyingine muhimu kuhusu michezo mtandaoni kupitia kurasa ya takwimu - Meridianbet.
Hapa, unaweza kupata taarifa muhimu na habari ambazo zinaweza kukusaidia kufanya maamuzi sahihi kuhusu uchaguzi wako wa kubeti mtandaoni. Kama vile; taarifa za msimamo wa ligi kuu NBC, Ratiba ya Ligi kuu Tanzania na matokeo ya EPL mtandaoni.
Kuanzia takwimu za michezo na mechi zinazoendelea live, Habari na taarifa za timu pendwa hadi wachezaji binafsi. Iwe wewe ni mzoefu katika michezo ya kubeti au mgeni katika ulimwengu wa kubeti mtandaoni, ukurasa wetu wa takwimu hakika utakuwa nyenzo muhimu kwako. Hivyo kwa nini kusubiri? Fuatilia takwimu zetu za uhakika na ujionee zinavyoweza kukusaidia kuongeza mafanikio yako ya kubeti mtandaoni ukitumia Meridianbet!


Msimamo Wa Ligi Kuu NBC 2022/23

Pata habari na taarifa sahihi kuhusu Msimamo wa ligi kuu NBC msimu huu wa mwaka 2022/2023. Taarifa kama vile;

  1. Meza ya msimamo wa ligi kuu NBC
  2. Ratiba ya Ligi kuu Tanzania
  3. Matokeo ya Ligi kuu NBC Tanzania Bara

Meza Ya Msimamo Wa Ligi Kuu NBC 2022/23

Msimu huu wa mwaka 2022/2023 umekua msimu wa kuvutia na kusisimua kwa mashabiki na wapenzi wa soka nchini Tanzania na kwa mataifa jirani, wote wakifuatilia mapambano kati ya timu zao mahiri zikichuana na kugombania nafasi ya kuibuka mshindi kwenye msimamo wa ligi kuu NBC 2022/23.
Meza ya ligi kuu Tanzania bara imekua yamoto msimu huu wa 2022/23, timu zimekua zikichuana kwa uwezo wao wote na timu zinazoshikilia nafasi za juu kama;
Yanga SC ikianza kwa kutawala ikishinda mechi zake nyingi na kumuwezesha kuwa ndio timu ambayo inayoshikilia nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi kuu bara ikiwa na pointi 50 huku ikiwa imecheza mechi 19 tu.
Simba SC ikianza msimu huu ikiwaburudisha watazamaji wa soka na mashabiki wa mpira inashikilia nafasi ya pili ikiwa imecheza mechi 19 na ikiwa na pointi 44.
Azam FC yenye kikosi mahiri inashikilia nafasi ya tatu ikiwa na pointi 40 kwenye msimu huu wa 2022/23 ikiwaacha pointi 3 Singida Big Stars wenye pointi 37.
Kwa taarifa zaidi tafadhali tazama Meza ya Msimamo wa NBC Ligi Kuu Tanzania Bara hapa chini:

Nafasi Timu Idadi Ya Mechi Zilizochezwa Magoli Pointi
1 Yanga SC 19 37 50
2 Simba SC 19 47 44
3 Azam FC 19 33 40
4 Singida BS FC 19 22 37
5 Namungo 19 16 26
6 Kagera Sugar 19 20 24
7 Geita gold FC 19 21 24
Kupata taarifa kamili za wakati kuhusu msimamo wa timu zote kwenye Ligi kuu Bara NBC angalia hapa.

Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

Ratiba ya NBC Premier League msimu huu wa 2022/2023 kama ilivyopangwa na waratibu mipango wa TFF itahusisha timu zote 16 zikicheza idadi ya mechi 30 mpaka kufikia mwisho wa msimu wa 2022/23 NBC Ligi kuu Tanzania Bara. Fuatilia ratiba ya Ligi kuu Tanzania mtandaoni kupitia kurasa zetu za Meridianbet.

Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Kuu NBC

Hii ndio ratiba ya mechi za leo kutoka ligi yako pendwa ya NBC Tanzania bara inayotazamwa na wapenzi wa soka na mashabiki wa mpira nchini kote na afrika mashariki kwa ujumla na upana wake.
Sasa wewe kama shabiki wa soka na mdau wa kubeti mtandaoni unaweza kutazama ratiba ya mechi za leo ligi kuu NBC 2022/23 kupitia kurasa zetu za Meridianbet ili uweze kufanya uamuzi na uchaguzi sahihi wakati ukitaka kubeti kawaida au kujiandaa na kubashiri mubashara kwenye mechi za leo zenye odds kubwa na odds za uhakika.

Mechi Za Kesho Ligi Kuu Tanzania Bara

NBC Premier League ndio ligi kuu ya Tanzania Bara ambayo inawavutia mashabaki wa soka kutoka kona zote za taifa hilo. Mashabiki hawa wa soka na wadau wa kubeti michezo mtandaoni sasa wanaweza kufuatilia kuhusu ratiba ya mechi zitakazo chezwa kesho na siku zijazo kupitia Meridianbet mtandaoni, ratiba hii vilevile itawaongoza wachezaji wa beti mtandaoni kufanya machaguzi yenye tafiti za kutosha tofauti na kubeti tu bila kupata taarifa za kina zitakazo kuongoza vyema.


Matokeo Ya Ligi Kuu NBC

Mpambano mkali umechezwa kati ya timu yako pendwa dhidi ya timu nyingine na hukupata muda wa kuangalia mechi hio au kupata matokeo ya mechi hio!? Ondoa shaka, sasa utayapata kwa urahisi matokeo ya mechi zote kutoka NBC ligi kuu Tanzania bara.
Umeshaweka uchaguzi wako, umeweka beti mtandaoni na mkeka umeshauandaa sasa tazama matokeo ya ligi kuu NBC hapa hapa Meridianbet na ufurahie ushindi wa beti yako uliyoweka.


Mchezaji Bora Ligi Kuu Tanzania Bara

Msimu huu wa 2022/23 wachezaji wa ligi kuu Tanzania Bara wameonyesha umahiri na ubora wao kwenye mechi zote za nyumbani na mechi za ugenini. Mpaka hivi sasa kuna wachezaji wengi wamekua wakionyesha uwezo wa kujituma na uwezo wa kiufundi uwanjani ambapo husababisha na kupelekea ushindi timu zao iwe mchezaji bora kwa ufungaji bora au kwa assist nyingi zaidi. Wachache kati ya wachezaji wanaoonyesha ubora wao kwenye ligi kuu Tanzania bara ni kama wafuatao;

  1. Fiston Mayele, Yanga SC
  2. Moses Phiri, Simba SC
  3. Feisal Salum
  4. Saido Ntibanzokiza
  5. Sixtus Sabilo, Mbeya City FC

Meridianbet inakuwezesha kufuatilia na kupata habari za kina kama taarifa za mchezaji bora ligi kuu Tanzania bara, vilevile Meridianbet inawapa fursa wateja wake wote wa kubeti, kubashiri machaguo mbalimbali kama kubashiri ni mchezaji gani ataibuka kidedea kama mchezaji bora wa ligi kuu NBC Tanzania bara 2022/23.

Msimamo Wa Ligi Kuu England

Ligi kuu ya Uingereza (EPL) ndio ligi inayoongoza kwa kutazamwa duniani kote kulingana na tafiti zilizofanyika kutoka tovuti ya the English Premier League (EPL). Ligi kuu ya EPL aidha inaaminika kuwa ndio moja kati ya ligi zenye ushindani wa hali ya juu hivyo hupelekea kutazmwa zaidi na mashabiki na wapenzi wa soka kutoka nyanja mbalimbali za hiii dunia.
Msimamo wa EPL kwenye huu msimu wa 2022/23 umepamba moto huku mabadiliko makubwa yakiwa yamejitokeza kuanzia usajili wa wachezaji wapya kama Eerling Haaland kuhamia Manchester City mpaka makocha wapya kama Unai Emery kuhamia Aston Villa, meza ya Ligi kuu ya EPL msimu huu imekua ikiongozwa na Arsenal wenye pointi 44 ikifuatiwa na mabingwa watetezi Manchester City wenye pointi 39. Timu zilizofanya mabadiliko makubwa msimu huu wa 2022/23 ni Newcastle United ambayo inashikilia nafasi ya 3 ikiwa na pointi 35 pamoja na Manchester United yenye pointi 35.


Meza ya Ligi kuu England/ Msimamo wa EPL

Meridianbet inakupatia taarifa za uhakika na ukweli kuhusu msimamo wa EPL msimu huu kama ifuatavyo kwa uchache wake;

Nafasi Timu Magoli Pointi
1 Arsenal 40 44
2 Manchester City 45 39
3 Newcastle United 32 35
4 Manchester United 27 35
5 Tottenham Hotspurs 37 33
6 Liverpool 34 28
7 Fulham 30 28
8 Brighton 32 27
9 Brentford 30 26

Kwa taarifa kamili ya timu zote 20 ndani ya msimamo wa EPL msimu huu wa 2022/23 tembelea kurasa yetu ya takwimu na ujihabarishe kwa tafiti za kina na uchambuzi yakinifu kuhusu Msimamo wa EPL ili uweze kufanya machaguo sahihi yatakayo kusaidia kubeti mtandaoni live na uibuke mshindi kutokana na odds kubwa na odds bomba.

Ratiba Ya EPL 2022/2023

Icheki ratiba ya EPL msimu huu na ujipatie taarifa zote kuhusu ligi kuu ya EPL msimu huu wa 2022/23. Pitia kurasa zetu za takwimu na uweze kujua ni timu gani inamvaa timu gani ili uweze kujua ni nani utampa bashiri yako.
Kwa taarifa zote kuhusu ratiba ya Ligi kuu England 2022/23 tembelea kurasa yetu ya takwimu yenye habari za kutosha kuhusu ligi kuu ya Uingereza.


Matokeo Ya EPL 2022/23

EPL msimu huu imekua ni moja kati ya ligi tamu sana kati ya ligi zenye ushindani wa hali ya juu. Sasa mashabiki na wapenzi wote wa soka duniani wanaweza kupata matokeo ya EPL moja kwa moja kupitia kurasa yetu ya takwimu - Meridianbet.
Endapo ulikua umebanwa na majukumu mengine na ukapitwa na mechi za EPL msimu huu, sasa unaweza kuuangalia na kupata matokeo ya mechi za EPL 2022/23. Ondoa wasiwasi weka beti yako kupitia Meridianbet na usubirie matokeo yako ya ushindi hapo hapo baada ya mechi kufikia mwisho.

Wafungaji Bora Ligi Kuu EPL

Ligi kuu ya Uingereza (EPL) ndio ligi inayotazamwa zaidi kuliko ligi nyingine zote na hii husababishwa na wachezaji wanaotoka mataifa mbalimbali wenye uwezo na weledi wa kipekee kufika uingereza na kuchezea klabu zenye majina makubwa ili waweze kujtengenezea jina bora kwenye ulimwengu wa soka.
Msimu huu wa 2022/23 kumekuwa na wachezaji bora kwa namna ya wafungaji bora na wachezaji wanaongoza kwa assist nyingi. Baadhi ya wafungaji bora ligi kuu EPL ni;

  1. Eerling Haaland wa Manchester City ana mabao 21
  2. Harry Kane wa Tottenham Hotspurs ana mabao 15
  3. Ivan Toney wa Brentford ana mabao 12
  4. Aleksandar Mitrovic wa Fulham ana mabao 11
  5. Rodrigo Moreno wa Leeds United ana mabao 10
  6. Almiron Miguel wa Newcastle United ana mabao 09
  7. Roberto Firmino wa Liverpool ana mabao 07
Na hawa ndio wafungaji bora wa ligi kuu ya EPL msimu huu wa 2022/23. Kupitia Meridianbet sasa utapata taarifa zote hizi na pia utaweza kufanya bashiri kama vile ni mchezaji gani ataibuka kidedea kwenye kinyan’ganyiro cha Mchezaji bora wa EPL 2022/23.


Msimamo Wa La Liga 2022/23

La liga 2022/23 ni mtanange mkali unaohusisha timu 20 zitakazocheza idadi ya mechi 38 kutimiza msimu mzima wa La Liga 2022/23. Kwenye msimu huu huko hispania timu zinazofanya vizuri ni kama Barcelona, Real Madrid, Real Sociedad, Real Betis na Atletico Madrid. Angalia msimamo wa la liga 2022/23 kama ifuatavyo;

Nafasi Timu Magoli Pointi
1 Barcelona 35 41
2 Real Madrid 36 38
3 Real Sociedad 23 32
4 Real Betis 19 28
5 Atletico Madrid 23 27
6 Villareal 19 27
7 Bilbao 24 25
Fuatilia kwa kina na upana kuhusu msimamo wa la liga 2022/23 hapa hapa kwenye Meridianbet ili uweze kuweka bashiri kwa haraka na usahihi.


Ratiba ya La Liga 2022/23

Ratiba nzima ya La liga msimu huu unapatikana hapa, angalia ratiba nzima ya mechi za leo, na mechi zinazokuja ili uanze kufanya uchaguzi mzuri zaidi kuhusu machaguo yako. Fuatilia ratiba ya la liga leo ili uweze kujionea mechi zipi zitakupatia odds kubwa, na odds za bomba za ushindi.


Wafungaji La Liga 2022/23

Meridianbet inakuletea taarifa zote la liga msimu huu wa mwaka 2022/23, ikiwemo taarifa kuhusu wafungaji bora wa msimu huu. Baadhi ya hao wafungaji bora la liga mpaka hivi sasa ni;

  1. Robert Lewandowski wa Barcelona mwenye magoli 13
  2. Mato Joselu wa Espanyol mwenye magoli 9
  3. Karim Benzema wa Real Madrid mwenye magoli 8
  4. Vedat Muriqi wa Mallorca mwenye magoli 8
  5. Borja Iglesias wa Real Betis mwenye magoli 8
Na wengine wengi ambao wamedhamiria kujitoa kwenye msimu huu kuwania nafasi ya mfungaji bora wa La Liga. Kabla ya mashabiki wa soka hawajamua kuweka chaguzi ya mfungaji bora wanatakiwa wafanye tafiti ya kina kupitia Meridianbet ili waweze kushinda kwa kishindo na odds kubwa kutoka Meridianbet.


Matokeo ya La Liga 2022/23

Pata matokeo ya la liga huku mechi ikiendelea na hata baada ya mechi kuisha. La liga 2022/23 imesheeni mechi zenye odds kubwa zenye ushindi wa uhakika. Anza kubeti sasa na ujipatie matokeo kwenye simu yako kupitia mtandaoni, ili ujione ushindi na Meridianbet.
Pata matokeo ya mechi za la liga 2022/23 haraka na kwa wakati kupitia Meridianbet. Weka mkeka wako kwa kufanya machaguo na upate matokeo ya mkeka wako kwa haraka na urahisi wa hali ya juu.


Msimamo Bundesliga 2022/23

Bundesliga ni ligi kuu ya Ujerumani iliyoanzishwa mwaka 1962 huko jijini Dortmund lakini msimu wa kwanza wa ligi hiyo ilikua mwaka 1963/1964.

Timu Saba Zinazoongoza Kushinda Ubingwa Wa Bundesliga

Kuanzia kuanzishwa kwa ligi hiyo timu kadha wa kadha zimekua zikichukua ubingwa wa taji la Bundesliga. Ifuatayo ni orodha ya timu zilizochukua Bundesliga mara nyingi zaidi kuanzia kuanzishwa kwa ligi hiyo;
  1. Bayern Munich imeshinda ubingwa wa bundesliga mara 31
  2. Borussia Dortmund imeshinda ubingwa wa bundesliga mara 5
  3. Borussia Monchengladbach imeshinda ubingwa wa bundesliga mara 5
  4. Werder Bremen imeshinda ubingwa wa bundesliga mara 4
  5. Hamburger SV imeshinda ubingwa wa bundesliga mara 3
  6. VfB Stuttgart imeshinda ubingwa wa bundesliga mara 3
  7. FC Koln imeshinda ubingwa wa bundesliga mara 2

Msimamo wa Bundesliga 2022/23 umekua ukivutia sana ikifwatia wachezaji wakubwa kama Sadio Mane kusajiliwa Bayern Munich kutoka Liverpool. Bayern Munich ndio timu inayoongoza msimamo wa ligi ya Bundesliga 2022/23 ikiwa na pointi 34 ikifwatiwa na Freiburg pamoja na Leipzig zenye pointi 30 na 28 kwa mtiririko huo.

Msimamo Wa Ligi Kuu Ya Ujerumani (Bundesliga) 2022/23

Timu 10 zinazoongoza Bundesliga msimu huu;

Nafasi Timu Magoli Pointi
1 Bayern Munich 49 34
2 Freiburg 25 30
3 Leipzig 30 28
4 Frankfurt 32 27
5 Union Berlin 24 27
6 Dortmund 25 25
7 Wolfsburg 24 23
8 Monchengladbach 28 22
9 Bremen 25 21
10 Mainz 19 19

Msimu huu Bundesliga inavutia na inahamsisha kushiriki kwenye matokeo ya mechi hizo ambazo huchezwa Ujerumani. Weka mkeka kwa kubeti mtandaoni na Meridianbet ufurahie ushindi mnono kutokana na odds kubwa zilizowekwa kwenye kila mechi ya Bundesliga leo.

Ratiba Ya Bundesliga Leo

Mechi nyingi za Bundesliga mara nyingi huchezwa siku ya Ijumaa, Jumamosi na Ijumaa lakini mechi hulazimika kuchezwa siku nyingine kutokana na matukio mengine makubwa kuungiliana na ndio muda mwingine hupelekea kuwa moja ya sababu mechi kuhairshwa na muda mwingine kupelekwa mbele.
Kama mdau wa kubashiri michezo mtandaoni ni vyema kujua na kufuatilia ratiba ya Bundesliga ili uweze kuandaa mkeka wako na kuweka beti mtandaoni kwa kupitia tovuti au application yetu ya Meridianbet.
Fuatilia ratiba ya Bundesliga 2022/23 kupitia kurasa zetu za takwimu na uweze kuweka mkeka wa ushindi mnono kutokana na odds bomba zilizofungamana kwenye kila mechi ya Bundesliga leo.


Wafungaji Bora Bundesliga

Kuanzia kuanzishwa kwa ligi ya Bundesliga wafungaji bora wa ligi hiyo wamekua wakibadilika kulingana na msimu na ubora wa timu wanazochezea kwa kipindi hiko.
Wafungaji 10 Bora Wa Bundesliga kuanzia kuanzishwa kwake;

  1. Gerd Muller ameshinda magoli 365
  2. Robert Lewandowski ameshinda magoli 312
  3. Klaus Fischer ameshinda magoli 268
  4. Jupp Heynckes ameshinda magoli 220
  5. Manfred Burgsmuller ameshinda magoli 213
  6. Claudio Pizzaro ameshinda magoli 197
  7. Ulf Kirsten ameshinda magoli 182
  8. Stefan Kuntz ameshinda magoli 179
  9. Dieter Muller ameshinda magoli 177
  10. Klaus Allofs ameshinda magoli 177

Wafungaji 7 Bora Bundesliga 2022/23;
  1. Christopher Nkunku ana magoli 12
  2. Niclas Fullkrug ana magoli 10
  3. Marcus Thuram ana magoli 10
  4. Jamal Musiala ana magoli 9
  5. Vincenzo Grifo ana magoli 9
  6. Serge Gnabry ana magoli 8
  7. Daichi Kamada ana magoli 7
Weka beti mtandaoni sasa na ubashiri ni mchezaji gani ataibuka mfungaji bora Bundesliga msimu huu wa 2022/23. Beti sasa na Meridianbet upate ushindi mkubwa na odds bomba.


Matokeo Ligi Kuu Bundesliga

Ligi kuu ya Ujerumani - Bundesliga, inahusisha timu kumi na nane (18) zitakazocheza jumla ya mechi 34 kwa msimu mmoja. Kila timu itacheza mechi mbili dhidi ya mpinzani wake; moja ni mechi ya nyumbani na nyingine ni mechi ya ugenini. Kila baada ya mechi matokeo ya mechi hio hurekodiwa kwenye nakala za historia za Ligi hio ya Bundesliga.
Meridianbet sasa inakuwezesha kuangalia na kufuatlia matokeo ya Bundesliga live huku mechi zikiwa zinaendelea kuchezwa, yaani ukishaweka beti mtandaoni sasa unaweza kupata taarifa za matokeo ya Bundesliga wakati huo huo ili uweze kurekebisha beti yako, kubeti upya au ku-cash out.


Msimamo Serie A 2022/2023

Serie A ndio ligi kuu ya Italia iliyoanzishwa mwaka 1898 tangu kuanzishwa kwa Ligi kuu ya Italia - Serie A timu nyingi zimefanikiwa kuchukua na kutetea ubingwa wa taji hilo.

Timu tisa (9) Zinazoongoza Kuchukua Ubingwa Wa Serie A

  1. Juventus imeshinda ubingwa wa Serie A mara 36
  2. AC Milan imeshinda ubingwa wa Serie A mara 19
  3. Inter Milan imeshinda ubingwa wa Serie A mara 19
  4. Genoa imeshinda ubingwa wa Serie A mara 9
  5. Pro Vercelli imeshinda ubingwa wa Serie A mara 7
  6. Torino imeshinda ubingwa wa Serie A mara 7
  7. Bologna imeshinda ubingwa wa Serie A mara 7
  8. AS Roma imeshinda ubingwa wa Serie A mara 3
  9. Fiorentina imeshinda ubingwa wa Serie A mara 2
  10. Napoli imeshinda ubingwa wa Serie A mara 2
  11. Lazio imeshinda ubingwa wa Serie A mara 2

Msimu huu wa 2022/23 Serie A imekua ikionyesha ushindani mzuri pamoja na mabadiliko ya timu inayoongoza ligi, Napoli ndio inayoongoza Serie A msimu huu ikiwa inapointi 44 ikifuatiwa na AC Milan pamoja na Juventus zote zikiwa zimefungana kwa pointi sare za 37 kila mmoja.

Msimamo Wa Serie A Leo Hii

,
Nafasi Timu Magoli Pointi
1 Napoli 39 44
2 Juventus 26 37
3 AC Milan 33 37
4 Inter Milan 37 34
5 Lazio 29 31
6 Atalanta 26 31
7 Roma 21 31

Fuatilia kwa kina msimamo kamili wa Serie A msimu hii kwa kupitia kurasa ya takwimu kwenye tovuti au application yetu ya Meridianbet. Weka chaguo lako ni timu ipi itachukua ubingwa Serie A msimu huu wa 2022/2023 na uweke beti mtandaoni sasa kwa kutumia Meridianbet jukwaa la usindi mnono na odds kubwa.


Ratiba Za Mechi Serie A 2022/23

Ligi kuu ya Italia - Serie A imeanza msimu huu Jumamosi ya tarehe 13 Agosti na unatarajia kuisha Jumapili ya tarehe 4 Juni mwaka 2023. Fuatilia ratiba ya msimu mzima kama ilivyoandaliwa na Ligi ya Serie A ili usipitwe na burudani ya mechi hata moja kutoka moja ya ligi shindani barani Ulaya.
Angalia ratiba ya mechi za Serie A msimu huu wa 2022/23 kupitia simu au kompyuta yako mtandaoni kwa kutembelea tovuti yetu au kupakua application yetu ya Meridianbet.


Wafungaji Bora Serie A

Kuanzia kuanzishwa kwa ligi kuu ya Italia - Serie A, wapenzi wa mpira wa soka wameshuhudia wachezaji wengi waliofanikiwa kuweka historia kwenye ligi hio ya Serie A kutokana na idadi ya magoli walioshinda wakichezea vilabu vya ligi kuu ya Italia.

Wafungaji 5 Bora Serie A Kuanzia Kuanzishwa kwake;

  1. Silvio Piola ameshinda magoli 274
  2. Francesco Totti ameshinda magoli 250
  3. Gunnar Nordahl ameshinda magoli 225
  4. Jose Altafini ameshinda magoli 216
  5. Giuseppe Meazza ameshinda magoli 216

Wafungaji 5 Bora Serie A 2022/2023

  1. Victor Osimhen ameshinda magoli 10
  2. Marko Arnautovic ameshinda magoli 8
  3. M’bala Nzola ameshinda magoli 8
  4. Lautaro Martinez ameshinda magoli 8
  5. Edin Dzeko ameshinda magoli 8

Fuatilia kwa ukaribu orodha ya wafungaji bora wa Serie A msimu huu 2022/23 kadri mechi zinavyozidi kuchezwa na uweke bashiri yako sasa mtandaoni kuchagua ni mchezaji gani ataibuka mshindi wa kiatu cha dhahabu kwenye ligi ya Italia - Seria A msimu huu wa 2022/23.


Matokeo Ya Serie A

Serie A ni moja ya ligi zenye ushindani mkubwa barani ulaya, kama mshabiki na mdau wa mchezo wa mpira wa soka usikubali uhondo na burudani za ligi hii ya Italia ukupite. Futalia matokeo mubashara moja-kwa-moja kutoka kwenye tovuti na application za Meridianbet mtandaoni kutokea popote ulipo nchini Tanzania.
Fuatilia na furahia burudani ya Serie A huku ukibeti mtandaoni na Meridianbet - jukwaa pekee la odds kubwa zenye ushindi mnono.